Ofisa Mtendaji atupwa mahabusu kwa kutafuna fedha za shule
MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya Igunga
mkoani Tabora, Rustika Turuka amemweka mahabusu Ofisa Mtendaji Kata ya
Kining’inila John Maduhu, kwa tuhuma za kutafuna Sh milioni 21 za ujenzi
wa maabara katika shule ya sekondari Kining’inila.
No comments:
Post a Comment