utt

.

line

line

line of success

line of success

Monday, June 29, 2015

Ofisa Mtendaji atupwa mahabusu kwa kutafuna fedha za shule

MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Rustika Turuka amemweka mahabusu Ofisa Mtendaji Kata ya Kining’inila John Maduhu, kwa tuhuma za kutafuna Sh milioni 21 za ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kining’inila.

No comments:

Post a Comment