Mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya
Jamii (NSSF) katika Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba
akihudumiwa na Meneja Kiongozi Masoko na Ushirikiano wa, Bi. Eunice
Chiume (wa kwanza kulia mbele).
Baadhi
ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa
huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara,
Sabasaba.
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakiwa katika Banda lao kwenye maonesho 39...
No comments:
Post a Comment