![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s320/32.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji
cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi
kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika
katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vh5FDNvX-c/VZGlBQk-mxI/AAAAAAAAgOY/LvibhBUdXII/s320/19.jpg)
No comments:
Post a Comment