Mmoja
wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele
aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa
ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya
Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.
Dk.
Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza
kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na
NSSF.
Baadhi
ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa
huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara,
Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini
Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.
No comments:
Post a Comment