fanyabiashara mmoja nchini Kenya ameanzisha kampeni kali ya kufuga konokono Afrika.Konokono huliwa kwa wingi maeneo ya Afrika Magharibi lakini wenyeji wa
Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika hawajakuwa na tabia ya kula
konokono. Wataalamu wanasema kuwa ufugaji wa konokono ni kilimo nafuu
chenye faida kubwa.
No comments:
Post a Comment