utt

.

line

line

line of success

line of success

Thursday, July 2, 2015

Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini

 
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wanaoeneza ugonjwa wa malaria kilichopo eneo la viwanda, Tamco-Kibaha mkoani Pwani ikiwa ni moja ya mikakati ya Serikali iliyojipangia ya kupambana na kupunguza vifo visababishwavyo na ugonjwa huo.
Uzinduzi huo ulifanywa na mgeni rasmi ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia, Mhe. Hailemariam Desalegn ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Nchi zinazopambana na Malaria (ALMA).
Katika uzinduzi huo, Rais Kikwete ameishukuru nchi ya Cuba kwani wao ndiyo walikubali kutoa wataalamu pamoja na teknolojia ili kuisaidia Tanzania kuendeleza sekta ya madawa ikiwemo kupambana dhidi ya ugonjwa wa malaria pamoja na kuwafundisha wataalamu wa Tanzania ili waweze kuendeleza kiwanda hicho.
Rais Kikwete alieleza kwamba, akiwa nchini Cuba mnamo Novemba 2009 alitembelea viwanda vya kuzalisha bidhaa mbalimbali za kibaiolojia kikiwemo kiwanda cha Biolarvicides cha LABIOFAM SA kinachomilikiwa na Serikali ya Cuba hivyo Serikali hiyo ilipokubali awamu ya kwanza ilipanga kujenga kiwanda cha Biolarvicides kwa lengo la kuua viluwiluwi wa mbu wanaoeneza malaria ambapo mradi huo ndo umezinduliwa rasmi tarehe 2 Julai mwaka huu na pia katika awamu ya pili ilikuwa ni ujenzi wa viwanda vya kuzalisha dawa mbalimbali kwa ajili ya kutibu na kuzuia magonjwa ya binadamu na wanyama na mwisho ni awamu ya tatu ya ujenzi wa viwanda vya dawa na vyakula vya ziada yaani Food supplement kwa ajili ya watu wenye magonjwa ya kudumu na kuzalisha mbolea za kibaiolojia (bio-fertilizers).
“Chimbuka la ujenzi wa kiwanda hiki ni ziara yangu niliyoifanya nchini Cuba, ndipo niliona kuna umuhimu wa kuiomba Serikali ya Cuba itusaidie kutupatia teknolojia pamoja na wataalamu lakini pia niliagiza Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) wajenge ushirikiano kwa ajili ya kutengeneza kiwanda nchini Kwetu na matokeo yake ndo haya”, alisema Dkt. Kikwete
Rais Kikwete alimshukuru Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Balozi Jorge Luis Lopez kwa ushirikiano mkubwa aliouonyesha kwa kuisaidia Tanzania katika kuhakikisha kwamba kiwanda hicho kinawepo nchini na kwa ukarimu wao pasipo tamaa ya kutoa teknolojia hiyo, licha ya nchi yao kutakuwa tajiri wao walitupati teknolojia hii na walishirikiana nasi katika ujenzi wa kiwanda hicho pamoja na wataalamu
“Huu ndiyo urafiki wa kweli na udugu nakuomba Balozi unifikishie salamu zangu za dhati na shukurani zangu mimi pamoja na watanzania wote kwa ajumla kwa Rais Raul Castro kwa mchango wake mkubwa kwa nchi yetu Tanzania”, Alisema Dkt. kikwete.
Naye Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Balozi Jorge Luis Lopez ameziomba nchini nyingine ziweze kuiga ushirikiano mkubwa wa Serikali ya Tanzania na Cuba na pia kwa niaba ya Serikali yake amemshukuru Rais Kikwete kwa utendaji kazi wake mzuri, uhusiano mzuri ambao ameujenga na kati ya Tanzania na Cuba.
Naye mgeni rasmi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ethiopia na Mwenyekiti wa Umoja wa Nchi zinazopambana na Malaria (ALMA) na ametoa pongezi zake za dhati na kueleza kwamba, hiyo ni hatua nzuri na kusema kuwa kushuka kwa idadi ya vifo nchini Tanzania ni ishara ya uongozi mzuri na bora wa Rais Kikwete na ishara nzuri kwa kuiacha nzuri katika mahali pazuri pamoja mahali pazuri dhidi ya umaskini
Aidha, ameeleza kuwa uwepo wa kiwanda hiko itakuwa ni ishara nzuri ya mapambano na yeye kama Mwenyekiti wa Umoja wa nchi zinazopambana (ALMA) dhidi ya malaria atazihamasisha nchi nyingine kutumia Afrika waweze kutumia mazao yatokanayo na kiwanda hicho.
Kampuni ya Tanzania Biotech Products Limited ni Kampuni iliyoundwa kwa ajili ya kuendesha Kiwanda cha kuzalisha Viuadudu vya kuua Viluwiluwi vya mbu wanaoeneza malaria kilichopo Kibaha, Pwani ambacho kimejengwa kwa kushirikiana na Kampuni ya LABIOFAM SA ya Cuba a kiwanda hiki kinatokana na agizo l Rais Kikwete alilolito Januari 4 , 2010 kwa shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) baada ya ziara yake nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegm wakiwa wamesimama kuimba nyimbo za taifa la Tanzania na Ethiopia katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegm wakiwa wamesimama kuimba nyimbo za taifa la Tanzania na Ethiopia katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya viongozi mbalimbali walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya viongozi mbalimbali walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya viongozi mbalimbali walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya viongozi mbalimbali walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakizungumza jambo katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakizungumza jambo katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdala Kigoda akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdala Kigoda akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Jiwe la Msingi la Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Jiwe la Msingi la Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya wageni mbalimbali waalikwa walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya wageni mbalimbali waalikwa walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
13
Balozi wa Cuba nchini Tanzania Bw. Jorge Luis Lopez akiongea wakati wa hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu wanaoeneza malaria kilichojengwa kwa ushirikiano wa serikali ya Cuba na Tanzania, ambapo aliahidi kuendelea kushirikiana na Serikali katika masuala balimbali ya maendeleo leo mkoani Pwani.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm (wa nne kushoto) pamoja na Rais Jakaya Kikwete (wa tano kushoto) wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm (wa nne kushoto) pamoja na Rais Jakaya Kikwete (wa tano kushoto) wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm (kushoto) pamoja na Rais Jakaya Kikwete (kulia) wakizinduwa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm (kushoto) pamoja na Rais Jakaya Kikwete (kulia) wakizinduwa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Baadhi ya viongozi na wageni waalikwa wakiwasili katika hafla ya uzinduzi wa kiwanda hicho.
Baadhi ya viongozi na wageni waalikwa wakiwasili katika hafla ya uzinduzi wa kiwanda hicho.
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegm wakiwa wamesimama kuimba nyimbo za taifa la Tanzania na Ethiopia katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegm wakiwa wamesimama kuimba nyimbo za taifa la Tanzania na Ethiopia katika hafla ya uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm akizungumza katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.

No comments:

Post a Comment