utt

.

line

line

line of success

line of success

Thursday, July 9, 2015

Rais Kikwete alipohutubia Bunge na kuagana na Wabunge mjini Dodoma

 Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na ujumbe wake pamoja na maafisa wa bunge wakiingia Bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Alhamisi Julai 9, 2015
 Marais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na Mawaziri wakuu wastaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde Warioba, Mhe. Frederick Sumaye na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na maafisa waandamizi jeshini na serikalini wakiwa wamesimama wakati viongozi wakiingia bungeni
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiingia bungeni
 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akiingia katika ukumbi wa Bunge
 Spika Anne Makinda akimuongoza Rais Kikwete kuingia bungeni
 Rais Kikwete akiingia bungeni huku akishangiliwa na wabunge
 Rais Kikwete akiingia bungeni
 Rais Kikwete na Spika Makinda wakielekea kuchukua nafasi zao
 Sehemu ya ukumbi wa bunge wakati Rais Kikwete akiingia
 Waheshimiwa wabunge
 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge
 Rais Kikwete akianza kuhutubia wabunge
 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge
 Rais Kikwete akihutubia
 Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake
 Waheshimiwa wabunge wakiwa wametulia kumsikiliza Rais Kikwete
 Sehemu ya wabunge
 Sehemu ya wageni mashuhuri wakifuatilia hotuba
 Sehemu ya wabunge
 Wake wa viongozi, watoto wa Rais Kikwete na maafisa mbalimbali
 Sehemu ya Mabalozi 
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wabunge wakifuatilia hotuba
 Wapiga picha wakirekodi hotuba ya Rais Kikwete
 Jaji Mkuu na ujumbe wake
 Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge.
 

No comments:

Post a Comment