Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amempa changamoto Rais wa
Marekani, Barrack Obama, baada ya kumwomba mkono wake kwenye ndoa.
Maoni ya Rais Mugabe yanakuja baada ya ndoa za mashoga kuhalalishwa
Marekani na mahakama kuu. Kwenye mahojiano ya
kila wiki na redio ya
Zimbabwe, Jumamosi iliyopita Rais Mugabe alisema amehitimisha kuwa Obama
anaunga mkono ndoa za jinsia moja, kuwatetea mashoga na hata kufurahia
machoni pake kuyaona hayo. Alisema hivi karibuni atafunga safari na
kwenda Washington DC ampigie goti na kumwomba waoane.
Katika hatua nyingine, Mugabe alisema serikali ya Marekani inapotoshwa na kuendeshwa na waabudu shetani wanaotusi Taifa la Marekani. Aliongeza kuwa mila hiyo ya Marekani na urithi, ulikuwa unalenga kanuni za mkristo, lakini ni hasara kubwa kwa Taifa zima la Marekani kwa dhana ya kishetani ya wanasiasa walarushwa nchini humo.
Muhuri wa Obama kuhusu ndoa za mashoga, umekuwa wa kwanza kutokea tangu rais kukaa madarakani. Kulikuwa na ongezeka la shinikizo kwa ajili ya rais kufafanua maoni yake ya awali ya mchanganyiko huo. Wanachama wawili waandamizi wa utawala wake walitangaza msaada binafsi kwa ajili ya ndoa mashoga na siku moja baadaye wapiga kura katika Jimbo la Carolina walipitisha hali hiyo ambayo inaleta mabadiliko ya katiba iliyofafanua ndoa kama muungano kati ya mwanaume na mwanamke.
Katika hatua nyingine, Mugabe alisema serikali ya Marekani inapotoshwa na kuendeshwa na waabudu shetani wanaotusi Taifa la Marekani. Aliongeza kuwa mila hiyo ya Marekani na urithi, ulikuwa unalenga kanuni za mkristo, lakini ni hasara kubwa kwa Taifa zima la Marekani kwa dhana ya kishetani ya wanasiasa walarushwa nchini humo.
Muhuri wa Obama kuhusu ndoa za mashoga, umekuwa wa kwanza kutokea tangu rais kukaa madarakani. Kulikuwa na ongezeka la shinikizo kwa ajili ya rais kufafanua maoni yake ya awali ya mchanganyiko huo. Wanachama wawili waandamizi wa utawala wake walitangaza msaada binafsi kwa ajili ya ndoa mashoga na siku moja baadaye wapiga kura katika Jimbo la Carolina walipitisha hali hiyo ambayo inaleta mabadiliko ya katiba iliyofafanua ndoa kama muungano kati ya mwanaume na mwanamke.
No comments:
Post a Comment