utt

.

line

line

line of success

line of success

Tuesday, June 30, 2015

Wauza mafuta wapewa onyo

SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali wafanyabiashara wa mafuta, ikiwamo kuwafungia vituo vyao na pia kufuta leseni zao watakaobainika kugoma kuuza nishati hiyo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amewaonya wamiliki wa vituo vya mafuta nchini wasije wakajiingiza katika mtego wa kufanya mgomo wa kuuza mafuta katika vituo vyao.
Mwijage alitoa tamko hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo Naibu Spika, Job Ndugai alimtaka atoe tamko la Serikali kutokana na taarifa zilizokuwa zikisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba wauza mafuta wamepanga kugoma kuuza mafuta kuanzia leo ili kusubiri bei mpya ya bidhaa hiyo. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage

No comments:

Post a Comment